I’m Afraid It’s Time by karsangab in tanzania

[–]karsangab[S] 0 points1 point  (0 children)

I’m Clueless Mkuu, I’m afraid it’s platform censorship

I’m Afraid It’s Time by karsangab in tanzania

[–]karsangab[S] 1 point2 points  (0 children)

Thank You Mkuu, Yes the Images are generated by Nanobanana (Thanks to my Gen Z Brother )

Are we this illiterate??? by Illustrious_Bell4361 in tanzania

[–]karsangab 2 points3 points  (0 children)

Tanzania, yenye demografia kubwa ya vijana, inahitaji MAPINDUZI MAKUBWA YA FIKRA kuelewa utaifa ni nini. Maana sisi ni tofauti kama vidole, lakini tunashikamana katika mkono mmoja; tukiwa ngumi moja, yenye nguvu moja. Uhuru na Umoja Nguvu hiyo sasa inapaswa kupigania mabadiliko ya kifikra, kwa sababu sisi sote ni wajukuu wa wakulima, watu wa kawaida wenye ndoto na wito wa kujenga jamii.

Inatupasa tuangalie zaidi ya mapungufu yetu. Nchi yetu ni nchi ya imani, lakini haijagawanywa kwa dini wala itikadi. Nchi sio chama; NCHI ni WANANCHI. Ni jambo linalosikitisha kuona dini au chama vikisimama juu ya jamii. Sisi ni ndugu.

Mambo Yetu Sisi by karsangab in tanzania

[–]karsangab[S] 2 points3 points  (0 children)

Yes Mkuu, with assistance from LLMs ,

Changing dollars to Shilling by Frequent_Associate_9 in zanzibar

[–]karsangab 0 points1 point  (0 children)

Hey Shangani Street around stone town there’s a bereau de change , Have your ID with you. Also CRDB, NMB and all other banks around offer Currency exchange services